Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Reuben Kwagilwa (katikati) akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa TSC, Prof. Masoud Hadi Muruke (kushoto) na Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama wakati wa ziara yake ya kukutana wa Wajumbe na watumishi wa Tume tarehe 25 Novemba 2025.
Naibu Waziri, Ofisi ya Wa...